Kutoka 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini moyo wa Farao uliendelea kuwa mkaidi,+ na kama Yehova alivyosema, Farao hakuwasikiliza. Kutoka 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Farao alipoona kwamba hali ni nafuu, akaufanya moyo wake kuwa mgumu,+ na kama Yehova alivyosema, Farao akakataa kuwasikiliza. Kutoka 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami ninaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi, ili waingie humo wakiwafuatia; kwa hiyo nitajipatia utukufu kupitia Farao na jeshi lake lote, magari yake ya vita, na askari wake wapanda farasi.+
15 Farao alipoona kwamba hali ni nafuu, akaufanya moyo wake kuwa mgumu,+ na kama Yehova alivyosema, Farao akakataa kuwasikiliza.
17 Nami ninaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi, ili waingie humo wakiwafuatia; kwa hiyo nitajipatia utukufu kupitia Farao na jeshi lake lote, magari yake ya vita, na askari wake wapanda farasi.+