Kutoka 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Halafu Yehova akamwambia Musa: “Baada ya kurudi Misri, hakikisha kwamba unafanya mbele ya Farao miujiza yote ambayo nimekupa nguvu za kuifanya.+ Lakini nitauacha moyo wake uwe mkaidi,+ naye hatawaruhusu watu hao waondoke.+ Kutoka 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini mimi, nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ nami nitazidisha ishara zangu na miujiza yangu katika nchi ya Misri.+
21 Halafu Yehova akamwambia Musa: “Baada ya kurudi Misri, hakikisha kwamba unafanya mbele ya Farao miujiza yote ambayo nimekupa nguvu za kuifanya.+ Lakini nitauacha moyo wake uwe mkaidi,+ naye hatawaruhusu watu hao waondoke.+
3 Lakini mimi, nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ nami nitazidisha ishara zangu na miujiza yangu katika nchi ya Misri.+