14 Kwa maana sasa ninayaelekeza mapigo yangu yote niupige moyo wako, niwapige watumishi wako, na watu wako, ili ujue kwamba hakuna yeyote aliye kama mimi katika dunia yote.+
17 Kwa maana andiko linamwambia Farao: “Kwa sababu hii nimekuacha ubaki: ili nionyeshe nguvu zangu kuhusiana na wewe na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.”+18 Hivyo basi, yeye humwonyesha rehema yeyote anayetaka, lakini yeye humwacha yeyote anayetaka awe mkaidi.+