Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nami ninaiacha mioyo ya Wamisri iwe mikaidi, ili waingie humo wakiwafuatia; kwa hiyo nitajipatia utukufu kupitia Farao na jeshi lake lote, magari yake ya vita, na askari wake wapanda farasi.+

  • Yoshua 2:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Akawaambia: “Najua kwamba Yehova atawapa nchi hii+ na tumeshikwa na hofu kwa sababu yenu.+ Wakaaji wote wa nchi wamevunjika moyo kwa sababu yenu,+ 10 kwa maana tumesikia jinsi Yehova alivyoyakausha maji ya Bahari Nyekundu* mbele yenu mlipotoka Misri+ na mambo mliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori, yaani, Sihoni+ na Ogu,+ waliokuwa ng’ambo ya* Yordani, mliowaangamiza kabisa.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tangazeni utukufu wake miongoni mwa mataifa,

      Kazi zake zinazostaajabisha miongoni mwa mataifa yote.

  • Methali 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yehova amefanya kila kitu kitimize kusudi lake,

      Hata waovu kwa ajili ya siku ya msiba.+

  • Isaya 63:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yule aliyeufanya mkono Wake mtukufu uende pamoja na mkono wa kulia wa Musa,+

      Yule aliyeyatenganisha maji mbele yao+

      Ili kujifanyia jina la milele,+

  • Waroma 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana andiko linamwambia Farao: “Kwa sababu hii nimekuacha ubaki: ili nionyeshe nguvu zangu kuhusiana na wewe na ili jina langu litangazwe katika dunia yote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki