Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:33, 34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Halafu wakageuka na kupanda kupitia njia ya Bashani. Ndipo Ogu+ mfalme wa Bashani akatoka pamoja na watu wake wote ili kupigana vita nao huko Edrei.+ 34 Yehova akamwambia Musa: “Usimwogope,+ kwa maana nitamtia mikononi mwako pamoja na watu wake wote na nchi yake,+ nawe utamtendea kama ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori, aliyeishi Heshboni.”+

  • Kumbukumbu la Torati 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Yehova Mungu wetu akamtia pia mikononi mwetu Mfalme Ogu wa Bashani pamoja na watu wake wote, nasi tukaendelea kumshambulia hivi kwamba hakuna mtu yeyote kati ya watu wake aliyeokoka.

  • Yoshua 9:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wakamjibu: “Sisi watumishi wako tumetoka nchi ya mbali sana+ kwa sababu ya heshima ya jina la Yehova Mungu wako, kwa kuwa tumesikia umaarufu wake na mambo yote aliyotenda Misri+ 10 na mambo yote aliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ya* Yordani, yaani, Mfalme Sihoni+ wa Heshboni na Mfalme Ogu+ wa Bashani, aliyekuwa Ashtarothi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki