Hesabu 21:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Usimwogope,+ kwa maana nitamtia yeye na watu wake wote na nchi yake mkononi mwako;+ nawe utamtendea kama vile ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni.”+
34 Sasa Yehova akamwambia Musa: “Usimwogope,+ kwa maana nitamtia yeye na watu wake wote na nchi yake mkononi mwako;+ nawe utamtendea kama vile ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni.”+