2 Basi Yehova akaniambia, ‘Usimwogope,+ kwa maana nitamtia yeye na watu wake wote na nchi yake mkononi mwako; nawe utamtendea kama vile ulivyomtendea Sihoni+ mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa kule Heshboni.’
3 Naye atawaambia, ‘Sikieni, Ee Israeli, mnakaribia leo kupigana na adui zenu. Msiache mioyo yenu iogope.+ Msiogope na kukimbia kwa wasiwasi au kutetemeka kwa sababu yao,+