27 “Na nitatuma mbele yako hali ya kuniogopa,+ nami hakika nitawavuruga watu wote utakaoingia katikati yao, nami kwa kweli nitakupa shingo za adui zako wote.+
24 Naye atawatia wafalme wao mkononi mwako,+ nawe lazima uyaharibu majina yao toka chini ya mbingu.+ Hakuna mtu atakayesimama imara dhidi yako,+ mpaka utakapokuwa umewaangamiza.+