4 Nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ naye atawafuatia, nami nitajipatia utukufu kupitia Farao na jeshi lake lote;+ na Wamisri watajua kwa hakika kwamba mimi ni Yehova.”+ Basi Waisraeli wakafanya hivyo.
21 Kwani, je, mfinyanzi hana mamlaka juu ya udongo+ kufanya kutokana na donge lilelile chombo kimoja kwa matumizi yenye kuheshimika, na kingine kwa matumizi yasiyo ya kuheshimika?