Isaya 64:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+ Sisi ni udongo, nawe ni Mfinyanzi wetu;*+Sisi sote ni kazi ya mkono wako. Yeremia 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Je, siwezi kuwatendea kama mfinyanzi huyu alivyotenda, enyi watu wa nyumba ya Israeli?’ asema Yehova. ‘Tazama! Kama udongo mikononi mwa mfinyanzi, ndivyo mlivyo mikononi mwangu, enyi watu wa nyumba ya Israeli.+
8 Lakini sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+ Sisi ni udongo, nawe ni Mfinyanzi wetu;*+Sisi sote ni kazi ya mkono wako.
6 “‘Je, siwezi kuwatendea kama mfinyanzi huyu alivyotenda, enyi watu wa nyumba ya Israeli?’ asema Yehova. ‘Tazama! Kama udongo mikononi mwa mfinyanzi, ndivyo mlivyo mikononi mwangu, enyi watu wa nyumba ya Israeli.+