10Kisha Yehova akamwambia Musa: “Nenda kwa Farao, kwa sababu nimeacha moyo wake na mioyo ya watumishi wake iwe migumu,+ ili nifanye ishara hizi zangu mbele yake,+
4 Nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ naye atawafuatia, nami nitajipatia utukufu kupitia Farao na jeshi lake lote;+ na Wamisri watajua kwa hakika kwamba mimi ni Yehova.”+ Basi Waisraeli wakafanya hivyo.