Kutoka 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Halafu Yehova akamwambia Musa: “Baada ya kurudi Misri, hakikisha kwamba unafanya mbele ya Farao miujiza yote ambayo nimekupa nguvu za kuifanya.+ Lakini nitauacha moyo wake uwe mkaidi,+ naye hatawaruhusu watu hao waondoke.+ Kutoka 9:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Farao alipoona kwamba mvua ya mawe, na ngurumo zimekoma, akatenda dhambi tena na kuufanya moyo wake uwe mgumu,+ yeye pamoja na watumishi wake.
21 Halafu Yehova akamwambia Musa: “Baada ya kurudi Misri, hakikisha kwamba unafanya mbele ya Farao miujiza yote ambayo nimekupa nguvu za kuifanya.+ Lakini nitauacha moyo wake uwe mkaidi,+ naye hatawaruhusu watu hao waondoke.+
34 Farao alipoona kwamba mvua ya mawe, na ngurumo zimekoma, akatenda dhambi tena na kuufanya moyo wake uwe mgumu,+ yeye pamoja na watumishi wake.