Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Halafu Yehova akamwambia Musa: “Baada ya kurudi Misri, hakikisha kwamba unafanya mbele ya Farao miujiza yote ambayo nimekupa nguvu za kuifanya.+ Lakini nitauacha moyo wake uwe mkaidi,+ naye hatawaruhusu watu hao waondoke.+

  • Kutoka 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha Yehova akafanya kama Musa alivyomwomba, na vyura wakaanza kufia nyumbani, nyuani, na mashambani.

  • Kutoka 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Farao alipoona kwamba hali ni nafuu, akaufanya moyo wake kuwa mgumu,+ na kama Yehova alivyosema, Farao akakataa kuwasikiliza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki