Yohana 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kama mngekuwa sehemu ya ulimwengu, ulimwengu ungependa kilicho chake.+ Sasa kwa sababu ninyi si sehemu ya ulimwengu, bali nimewachagua ninyi kutoka ulimwenguni,+ kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukia ninyi.+ 2 Wakorintho 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi, ikiwa kwa kweli habari njema tunayotangaza imefunikwa utaji, imefunikwa utaji katikati ya wale wanaoangamia,+ 1 Petro 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+
19 Kama mngekuwa sehemu ya ulimwengu, ulimwengu ungependa kilicho chake.+ Sasa kwa sababu ninyi si sehemu ya ulimwengu, bali nimewachagua ninyi kutoka ulimwenguni,+ kwa sababu hiyo ulimwengu unawachukia ninyi.+
3 Basi, ikiwa kwa kweli habari njema tunayotangaza imefunikwa utaji, imefunikwa utaji katikati ya wale wanaoangamia,+
8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+