Yohana 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nimewapa neno lako, lakini ulimwengu umewachukia,+ kwa sababu wao si sehemu ya ulimwengu, kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu.+ Yakobo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+
14 Nimewapa neno lako, lakini ulimwengu umewachukia,+ kwa sababu wao si sehemu ya ulimwengu, kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu.+
4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+