Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mwishowe wakaiacha nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zao, wakaanza kuitumikia miti mitakatifu+ na sanamu,+ hivi kwamba kukawa na ghadhabu juu ya Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya hiyo hatia yao.+

  • Ezekieli 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “ ‘Sasa, mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu wake naye kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki;+ kulingana na machukizo yote ambayo mwovu ametenda yeye anaendelea kutenda+ naye anaishi, hakuna lolote la matendo yake ya uadilifu ambayo ametenda litakalokumbukwa.+ Atakufa kwa sababu ya ukosefu wake wa uaminifu ambao ametenda na kwa sababu ya dhambi ambayo ametenda.+

  • Ezekieli 33:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, waambie wana wa watu wako, ‘Uadilifu wenyewe wa mwadilifu hautamkomboa katika siku ya maasi yake.+ Lakini kwa habari ya uovu wa mwovu, hautamtikisa katika siku atakapogeuka na kuuacha uovu wake.+ Wala hata mtu yeyote mwenye uadilifu hataweza kuendelea kuishi kwa sababu ya huo siku ile atakapotenda dhambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki