24 “‘Lakini mtu mwadilifu akiacha uadilifu wake na kutenda kosa, na kufanya mambo yote yanayochukiza wanayofanya waovu, je, ataishi? Hakuna jambo lolote litakalokumbukwa kati ya matendo ya uadilifu aliyotenda.+ Atakufa kwa sababu ya ukosefu wake wa uaminifu na dhambi aliyotenda.+