Methali 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mtu anayetangatanga kutoka kwenye njia ya ufahamuAtapumzika katika kundi la wale waliokufa ambao hawana uwezo.+ Ezekieli 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini mtu mwadilifu anapoacha uadilifu wake na kutenda kosa,* nitaweka kikwazo mbele yake, naye atakufa.+ Ikiwa hukumwonya, atakufa kwa sababu ya dhambi yake na matendo yake ya uadilifu hayatakumbukwa, lakini damu yake nitaidai kutoka kwako.*+
16 Mtu anayetangatanga kutoka kwenye njia ya ufahamuAtapumzika katika kundi la wale waliokufa ambao hawana uwezo.+
20 Lakini mtu mwadilifu anapoacha uadilifu wake na kutenda kosa,* nitaweka kikwazo mbele yake, naye atakufa.+ Ikiwa hukumwonya, atakufa kwa sababu ya dhambi yake na matendo yake ya uadilifu hayatakumbukwa, lakini damu yake nitaidai kutoka kwako.*+