Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukashiriki dhambi yake.

  • Ezekieli 33:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Lakini mlinzi akiuona upanga ukija naye asipige pembe+ na watu wasipate onyo nao upanga uje na kumuua mmoja wao, mtu huyo atakufa kwa sababu ya kosa lake mwenyewe, lakini nitaidai damu yake kutoka kwa mlinzi.’*+

  • Waebrania 13:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Watiini wale wanaoongoza kati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuwalinda ninyi* kama wale watakaotoa hesabu,+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa huzuni, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki