Methali 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anayeficha chuki yake husema uwongo,+Na yule anayeeneza habari zinazodhuru* ni mpumbavu. 1 Yohana 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mtu anayesema kwamba yumo katika nuru na bado anamchukia+ ndugu yake bado yumo katika giza.+ 1 Yohana 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kila mtu anayemchukia ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji aliye na uzima wa milele ndani yake.+
15 Kila mtu anayemchukia ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji aliye na uzima wa milele ndani yake.+