-
Mathayo 5:21, 22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 “Mlisikia kwamba zamani watu waliambiwa: ‘Usiue,+ lakini yeyote anayeua atawajibika mahakamani.’+ 22 Hata hivyo, ninawaambia kila mtu anayeendelea kumkasirikia+ ndugu yake atawajibika mahakamani; na yeyote anayemtukana ndugu yake kwa neno la dharau atawajibika katika Mahakama Kuu; na yeyote anayesema, ‘Wewe mpumbavu usiyefaa kitu!’ atastahili moto wa Gehena.*+
-