Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Mlisikia kwamba zamani watu waliambiwa: ‘Usiue,+ lakini yeyote anayeua atawajibika mahakamani.’+ 22 Hata hivyo, ninawaambia kila mtu anayeendelea kumkasirikia+ ndugu yake atawajibika mahakamani; na yeyote anayemtukana ndugu yake kwa neno la dharau atawajibika katika Mahakama Kuu; na yeyote anayesema, ‘Wewe mpumbavu usiyefaa kitu!’ atastahili moto wa Gehena.*+

  • Waefeso 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Acheni kabisa kila aina ya chuki yenye uhasama,+ hasira, ghadhabu, kufoka, matusi,+ na mambo yote yanayodhuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki