Zaburi 141:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu akinipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mshikamanifu;+Akinikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+Ambayo kichwa changu hakiwezi kamwe kukataa.+ Nitaendelea kusali hata wanapopatwa na misiba. Methali 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usimkaripie mtu mwenye dhihaka, kwa maana atakuchukia.+ Mkaripie mwenye hekima, naye atakupenda.+ Mathayo 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Zaidi ya hayo, ndugu yako akitenda dhambi, nenda ufunue kosa lake* kati yako na yeye peke yenu.+ Akikusikiliza, umempata ndugu yako.+
5 Mwadilifu akinipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mshikamanifu;+Akinikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+Ambayo kichwa changu hakiwezi kamwe kukataa.+ Nitaendelea kusali hata wanapopatwa na misiba.
15 “Zaidi ya hayo, ndugu yako akitenda dhambi, nenda ufunue kosa lake* kati yako na yeye peke yenu.+ Akikusikiliza, umempata ndugu yako.+