Zaburi 141:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu akinipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mshikamanifu;+Akinikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+Ambayo kichwa changu hakiwezi kamwe kukataa.+ Nitaendelea kusali hata wanapopatwa na misiba. Methali 27:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Majeraha yanayosababishwa na rafiki ni ya uaminifu,+Lakini mabusu ya adui ni mengi.* Methali 28:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yeyote anayemkaripia mwingine+ hatimaye atapata kibali zaidi+Kuliko mtu anayesifusifu kwa ulimi wake.
5 Mwadilifu akinipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mshikamanifu;+Akinikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+Ambayo kichwa changu hakiwezi kamwe kukataa.+ Nitaendelea kusali hata wanapopatwa na misiba.
23 Yeyote anayemkaripia mwingine+ hatimaye atapata kibali zaidi+Kuliko mtu anayesifusifu kwa ulimi wake.