Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Mwanamume huyo ni wewe! Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mimi mwenyewe nilikutia mafuta uwe mfalme wa Israeli,+ nami nilikuokoa kutoka mikononi mwa Sauli.+

  • 2 Samweli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa nini ulilidharau neno la Yehova, kwa kutenda lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga!+ Kisha ukamchukua mke wake awe mke wako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+

  • Zaburi 141:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwadilifu akinipiga, hilo litakuwa tendo la upendo mshikamanifu;+

      Akinikaripia, hilo litakuwa kama mafuta kwenye kichwa changu,+

      Ambayo kichwa changu hakiwezi kamwe kukataa.+

      Nitaendelea kusali hata wanapopatwa na misiba.

  • Ufunuo 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Basi uwe mwenye bidii na utubu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki