7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Mwanamume huyo ni wewe! Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mimi mwenyewe nilikutia mafuta uwe mfalme wa Israeli,+ nami nilikuokoa kutoka mikononi mwa Sauli.+
9 Kwa nini ulilidharau neno la Yehova, kwa kutenda lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga!+ Kisha ukamchukua mke wake awe mke wako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+