Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Siku iliyofuata, roho mbaya kutoka kwa Mungu ikamvamia Sauli,+ naye akaanza kutenda kwa njia ya ajabu* nyumbani, huku Daudi akipiga muziki kwa kinubi+ kama alivyofanya nyakati nyingine. Sauli alikuwa na mkuki mkononi,+ 11 basi akaurusha mkuki huo+ akisema hivi moyoni: ‘Nitampigilia Daudi ukutani!’ Lakini Daudi alimkwepa mara mbili.

  • 1 Samweli 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sauli akajaribu kumpigilia Daudi ukutani kwa mkuki, lakini akamkwepa Sauli, na mkuki huo ukapenya ukutani. Daudi akakimbia na kutoroka usiku huo.

  • 1 Samweli 23:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Daudi akakaa nyikani katika sehemu ambazo hazifikiki kwa urahisi, kwenye eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Sauli aliendelea kumtafuta,+ lakini Yehova hakumtia Daudi mikononi mwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki