16 Tafadhali, bwana wetu, waamuru watumishi wako walio mbele yako wamtafute mtu mwenye ustadi wa kupiga kinubi.+ Wakati wowote roho mbaya kutoka kwa Mungu inapokujia, atapiga kinubi, nawe utahisi vizuri.”
23 Wakati wowote roho mbaya kutoka kwa Mungu ilipomjia Sauli, Daudi alichukua kinubi na kukipiga, kisha Sauli alipata kitulizo na kuhisi vizuri, na roho hiyo mbaya ilimwacha.+