Methali 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+Na sheria ni nuru,+Na makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima.+ Yakobo 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, kuna yeyote aliye mgonjwa kati yenu? Na awaite wazee+ wa kutaniko, nao wasali kwa ajili yake, wakimpaka mafuta+ katika jina la Yehova.*
14 Je, kuna yeyote aliye mgonjwa kati yenu? Na awaite wazee+ wa kutaniko, nao wasali kwa ajili yake, wakimpaka mafuta+ katika jina la Yehova.*