15 Katika barua hiyo, Daudi aliandika hivi: “Mwekeni Uria kwenye mstari wa mbele mahali ambapo vita ni vikali zaidi. Kisha mmwache na kurudi nyuma yake ili apigwe na kuuawa.”+
27 Mara tu kipindi cha kuomboleza kilipokwisha, Daudi akaagiza aletwe nyumbani kwake, akawa mke wake+ na kumzalia mwana. Lakini jambo ambalo Daudi alikuwa amefanya lilimchukiza sana* Yehova.+