Mambo ya Walawi 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukashiriki dhambi yake. Methali 25:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usiharakishe kupeleka kesi mahakamani,Kwa maana utafanya nini baadaye jirani yako akikuaibisha?+ 9 Suluhisha jambo hilo na jirani yako,+Lakini usifunue uliyoambiwa sirini,*+ Luka 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jiangalieni ninyi wenyewe. Ndugu yako akitenda dhambi mkemee,+ na akitubu, msamehe.+
8 Usiharakishe kupeleka kesi mahakamani,Kwa maana utafanya nini baadaye jirani yako akikuaibisha?+ 9 Suluhisha jambo hilo na jirani yako,+Lakini usifunue uliyoambiwa sirini,*+ Luka 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jiangalieni ninyi wenyewe. Ndugu yako akitenda dhambi mkemee,+ na akitubu, msamehe.+