Methali 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mtu wa kwanza kuwasilisha kesi yake huonekana kuwa sahihi,+Mpaka mwingine anapokuja na kumuuliza maswali.*+ Mathayo 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Suluhisha mambo upesi na mtu anayekushtaki, ukiwa naye njiani kwenda mahakamani, ili asikupeleke kwa hakimu, naye hakimu kwa mtumishi wa mahakama, nawe utupwe gerezani.+
17 Mtu wa kwanza kuwasilisha kesi yake huonekana kuwa sahihi,+Mpaka mwingine anapokuja na kumuuliza maswali.*+
25 “Suluhisha mambo upesi na mtu anayekushtaki, ukiwa naye njiani kwenda mahakamani, ili asikupeleke kwa hakimu, naye hakimu kwa mtumishi wa mahakama, nawe utupwe gerezani.+