Isaya 56:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Walinzi wake ni vipofu,+ hakuna hata mmoja ambaye ameona.+ Wote ni mbwa walio bubu, wasioweza kubweka.+ Wanahemahema na kulala chini; wanapenda kulala.
10 Walinzi wake ni vipofu,+ hakuna hata mmoja ambaye ameona.+ Wote ni mbwa walio bubu, wasioweza kubweka.+ Wanahemahema na kulala chini; wanapenda kulala.