Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “‘Lakini mtu mwadilifu akiacha uadilifu wake na kutenda kosa,* na kufanya mambo yote yanayochukiza wanayofanya waovu, je, ataishi? Hakuna jambo lolote litakalokumbukwa kati ya matendo ya uadilifu aliyotenda.+ Atakufa kwa sababu ya ukosefu wake wa uaminifu na dhambi aliyotenda.+

  • Ezekieli 18:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Mtu mwadilifu akiuacha uadilifu wake na kutenda kosa, naye afe kwa sababu ya kosa hilo, atakufa kwa sababu ya kosa lake mwenyewe.

  • Ezekieli 33:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na wewe, mwana wa binadamu, waambie wana wa watu wako, ‘Uadilifu wa mtu mwadilifu hautamwokoa akiasi;+ wala uovu wa mwovu hautamkwaza akiacha uovu wake;+ wala hakuna mtu yeyote mwadilifu atakayeendelea kuishi kwa sababu ya uadilifu wake siku atakayotenda dhambi.+

  • Ezekieli 33:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Mtu mwadilifu akiacha uadilifu wake na kutenda kosa, lazima afe kwa sababu ya kosa hilo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki