Ezekieli 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu wake na kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki, lazima pia afe kwa sababu hiyo.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 33:18 Ibada Safi, uku. 122
18 “Mtu mwadilifu anapogeuka na kuuacha uadilifu wake na kwa kweli atende kwa njia isiyo ya haki, lazima pia afe kwa sababu hiyo.+