Waebrania 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kupitia imani,”+ naye “akirudi nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwi* naye.”+ 2 Petro 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hakika ikiwa baada ya kuponyoka unajisi wa ulimwengu+ kupitia ujuzi sahihi kumhusu Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, wanajiingiza tena katika mambo haya na kushindwa, mwisho wao unakuwa mbaya zaidi kuliko mwanzo wao.+
38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kupitia imani,”+ naye “akirudi nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwi* naye.”+
20 Hakika ikiwa baada ya kuponyoka unajisi wa ulimwengu+ kupitia ujuzi sahihi kumhusu Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, wanajiingiza tena katika mambo haya na kushindwa, mwisho wao unakuwa mbaya zaidi kuliko mwanzo wao.+