16 “Kwa maana, Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa pekee,+ ili kila mtu anayemwamini* asiangamizwe bali awe na uzima wa milele.+
17 Kwa sababu kupitia habari njema, uadilifu wa Mungu unafunuliwa kupitia imani na kwa ajili ya imani,+ kama ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu ataishi kupitia imani.”+