Habakuki 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwangalie mtu mwenye kiburi;*Hana unyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu ataishi kwa uaminifu wake.*+ Wagalatia 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Isitoshe, ni wazi kwamba kupitia sheria hakuna mtu atakayetangazwa kuwa mwadilifu mbele za Mungu,+ kwa maana “mwadilifu ataishi kupitia imani.”+ Waebrania 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kupitia imani,”+ naye “akirudi nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwi* naye.”+
4 Mwangalie mtu mwenye kiburi;*Hana unyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu ataishi kwa uaminifu wake.*+
11 Isitoshe, ni wazi kwamba kupitia sheria hakuna mtu atakayetangazwa kuwa mwadilifu mbele za Mungu,+ kwa maana “mwadilifu ataishi kupitia imani.”+
38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kupitia imani,”+ naye “akirudi nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwi* naye.”+