Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 3:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Yule anayemwamini Mwana ana uzima wa milele;+ yule asiyemtii Mwana hataona uzima,+ bali ghadhabu ya Mungu hukaa juu yake.+

  • Waroma 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa sababu kupitia habari njema, uadilifu wa Mungu unafunuliwa kupitia imani na kwa ajili ya imani,+ kama ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu ataishi kupitia imani.”+

  • Wagalatia 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Isitoshe, ni wazi kwamba kupitia sheria hakuna mtu atakayetangazwa kuwa mwadilifu mbele za Mungu,+ kwa maana “mwadilifu ataishi kupitia imani.”+

  • Waebrania 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kupitia imani,”+ naye “akirudi nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwi* naye.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki