Yohana 3:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Yule anayemwamini Mwana ana uzima wa milele;+ yule asiyemtii Mwana hataona uzima,+ bali ghadhabu ya Mungu hukaa juu yake.+ Waroma 3:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini sasa uadilifu wa Mungu umefunuliwa bila sheria,+ kama inavyoshuhudiwa na Sheria na Manabii,+ 22 ndiyo, uadilifu wa Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo, kwa wote walio na imani. Kwa maana hakuna tofauti.+
36 Yule anayemwamini Mwana ana uzima wa milele;+ yule asiyemtii Mwana hataona uzima,+ bali ghadhabu ya Mungu hukaa juu yake.+
21 Lakini sasa uadilifu wa Mungu umefunuliwa bila sheria,+ kama inavyoshuhudiwa na Sheria na Manabii,+ 22 ndiyo, uadilifu wa Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo, kwa wote walio na imani. Kwa maana hakuna tofauti.+