-
Waefeso 5:5, 6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Kwa maana mnajua hili, nanyi mnalitambua wenyewe, kwamba hakuna mwasherati*+ au mtu asiye safi au mtu mwenye pupa,+ maana yake mtu anayeabudu sanamu, aliye na urithi wowote katika Ufalme wa Kristo na wa Mungu.+
6 Mtu yeyote asiwadanganye kwa maneno matupu, kwa maana ghadhabu ya Mungu inakuja juu ya wana wa kutotii kwa sababu ya mambo hayo.
-