8 Vilevile watumishi wa huduma wanapaswa kuchukua mambo kwa uzito, si wenye ndimi mbili,* si wenye kunywa divai nyingi, si wenye pupa ya mapato yasiyo ya haki,+
7 Mwangalizi ni msimamizi aliyechaguliwa na Mungu, hivyo hapaswi kuwa na shtaka, asiwe mshupavu,+ asiwe mwenye kukasirika upesi,+ asiwe mlevi, asiwe mkatili,* asiwe na pupa ya mapato yasiyo ya haki,