-
Waefeso 5:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 Msiache mtu yeyote awadanganye nyinyi kwa maneno matupu, kwa maana kwa sababu ya mambo yaliyotangulia kusemwa hasira ya kisasi ya Mungu inakuja juu ya wana wa kutotii.
-