Habakuki 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwangalie mtu mwenye kiburi;*Hana unyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu ataishi kwa uaminifu wake.*+ Waroma 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa sababu kupitia habari njema, uadilifu wa Mungu unafunuliwa kupitia imani na kwa ajili ya imani,+ kama ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu ataishi kupitia imani.”+ Waebrania 10:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kupitia imani,”+ naye “akirudi nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwi* naye.”+
4 Mwangalie mtu mwenye kiburi;*Hana unyoofu ndani yake. Lakini mwadilifu ataishi kwa uaminifu wake.*+
17 Kwa sababu kupitia habari njema, uadilifu wa Mungu unafunuliwa kupitia imani na kwa ajili ya imani,+ kama ilivyoandikwa: “Lakini mwadilifu ataishi kupitia imani.”+
38 “Lakini mwadilifu wangu ataishi kupitia imani,”+ naye “akirudi nyuma kwa kutetemeka, mimi sipendezwi* naye.”+