20 Lakini mtu mwadilifu anapoacha uadilifu wake na kutenda kosa,* nitaweka kikwazo mbele yake, naye atakufa.+ Ikiwa hukumwonya, atakufa kwa sababu ya dhambi yake na matendo yake ya uadilifu hayatakumbukwa, lakini damu yake nitaidai kutoka kwako.*+
24 “‘Lakini mtu mwadilifu akiacha uadilifu wake na kutenda kosa,* na kufanya mambo yote yanayochukiza wanayofanya waovu, je, ataishi? Hakuna jambo lolote litakalokumbukwa kati ya matendo ya uadilifu aliyotenda.+ Atakufa kwa sababu ya ukosefu wake wa uaminifu na dhambi aliyotenda.+