Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 nao wakurudie kwa moyo wao wote+ na kwa nafsi* yao yote katika nchi ya maadui wao waliowachukua mateka, nao wasali kwako kuelekea nchi yao ambayo uliwapa mababu zao na kuelekea jiji ambalo umelichagua na nyumba ambayo nimejenga kwa ajili ya jina lako,+

  • 1 Wafalme 8:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 na uwasamehe watu wako ambao wamekutendea dhambi, na kusamehe makosa yote waliyokukosea. Utafanya waliowateka wawahurumie,* nao watawahurumia+

  • Ezekieli 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Sasa mtu mwovu akiziacha dhambi zote alizofanya na kushika amri zangu na kutenda mambo ya haki na ya uadilifu, kwa hakika ataendelea kuishi. Hatakufa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki