Ezekieli 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini mtu mwadilifu anapoacha uadilifu wake na kutenda kosa,* nitaweka kikwazo mbele yake, naye atakufa.+ Ikiwa hukumwonya, atakufa kwa sababu ya dhambi yake na matendo yake ya uadilifu hayatakumbukwa, lakini damu yake nitaidai kutoka kwako.*+
20 Lakini mtu mwadilifu anapoacha uadilifu wake na kutenda kosa,* nitaweka kikwazo mbele yake, naye atakufa.+ Ikiwa hukumwonya, atakufa kwa sababu ya dhambi yake na matendo yake ya uadilifu hayatakumbukwa, lakini damu yake nitaidai kutoka kwako.*+