Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ikawa kwamba mara tu Ezra alipokuwa amesali+ na kuungama akilia na kulala kifudifudi+ mbele ya nyumba+ ya Mungu wa kweli, watu wa Israeli wakakusanyika pamoja kwake, kutaniko kubwa sana, wanaume na wanawake na watoto, kwa maana watu hao walikuwa wamelia sana.+

  • Isaya 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ Yehova wa majeshi, atataka katika siku hiyo kuwe kilio+ na maombolezo na upara na kuvaa nguo za magunia.+

  • Yakobo 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Iweni na taabu na kuomboleza na kulia.+ Kicheko chenu na kigeuzwe kuwa maombolezo, na shangwe yenu kuwa huzuni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki