10 Ikawa kwamba mara tu Ezra alipokuwa amesali+ na kuungama akilia na kulala kifudifudi+ mbele ya nyumba+ ya Mungu wa kweli, watu wa Israeli wakakusanyika pamoja kwake, kutaniko kubwa sana, wanaume na wanawake na watoto, kwa maana watu hao walikuwa wamelia sana.+