Mambo ya Walawi 26:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na hakika wao wataungama kosa lao wenyewe+ na kosa la baba zao katika ukosefu wao wa uaminifu walipojiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kunielekea mimi, naam, wakati ambapo walitembea kwa kunipinga.+ Zaburi 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela. Methali 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+ lakini yeye anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+
40 Na hakika wao wataungama kosa lao wenyewe+ na kosa la baba zao katika ukosefu wao wa uaminifu walipojiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kunielekea mimi, naam, wakati ambapo walitembea kwa kunipinga.+
5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela.