Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Nehemia,+ yaani, huyo Tirshatha,+ na Ezra+ kuhani, mwandikaji, na Walawi waliokuwa wakiwafundisha watu wakawaambia watu wote: “Leo ni siku takatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Msiomboleze wala kulia.”+ Kwa maana watu wote walikuwa wakilia walipokuwa wakisikiliza maneno ya sheria.+

  • Isaya 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wamevaa nguo za magunia+ katika barabara zake. Katika madari+ ya huko na katika viwanja vya watu wote vya huko kila mtu huko analia, anashuka huku akilia.+

  • Yoeli 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Makuhani, walio wahudumu wa Yehova, na walie kati ya ukumbi na madhabahu,+ wakisema, ‘Ee Yehova, wasikitikie watu wako, usiufanye urithi wako kuwa shutuma,+ mataifa wawatawale. Kwa nini waseme kati ya makabila ya watu: “Yuko wapi Mungu wao?” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki