9 Na Nehemia,+ yaani, huyo Tirshatha,+ na Ezra+ kuhani, mwandikaji, na Walawi waliokuwa wakiwafundisha watu wakawaambia watu wote: “Leo ni siku takatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Msiomboleze wala kulia.”+ Kwa maana watu wote walikuwa wakilia walipokuwa wakisikiliza maneno ya sheria.+
3 Wamevaa nguo za magunia+ katika barabara zake. Katika madari+ ya huko na katika viwanja vya watu wote vya huko kila mtu huko analia, anashuka huku akilia.+
17 “Makuhani, walio wahudumu wa Yehova, na walie kati ya ukumbi na madhabahu,+ wakisema, ‘Ee Yehova, wasikitikie watu wako, usiufanye urithi wako kuwa shutuma,+ mataifa wawatawale. Kwa nini waseme kati ya makabila ya watu: “Yuko wapi Mungu wao?” ’+