Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kisha Daudi akamwambia Yoabu na watu wote waliokuwa pamoja naye: “Rarueni mavazi yenu,+ na mvae nguo za magunia,+ mlie mbele ya Abneri.” Hata mfalme Daudi akatembea nyuma ya kile kitanda.

  • 2 Wafalme 6:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na ikawa kwamba mara mfalme alipoyasikia maneno ya mwanamke yule, mara moja akayararua+ mavazi yake; na kwa vile alikuwa akipita juu ya ukuta, watu wakaona, na, tazama! ndani alikuwa amevaa nguo za magunia juu ya mwili wake.

  • Isaya 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kuna kilio barabarani kwa sababu ya upungufu wa divai. Shangwe yote imepitilia mbali; furaha ya nchi imeondoka.+

  • Mathayo 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida!+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zingalifanyika katika Tiro na Sidoni ambazo zilifanyika ndani yenu, wangalitubu zamani za kale katika nguo ya gunia na majivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki