Mwanzo 37:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Baadaye Rubeni akarudi kwenye lile shimo la maji na tazama Yosefu hakuwemo. Basi akayararua mavazi yake.+ 1 Wafalme 21:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na ikawa kwamba mara tu Ahabu alipoyasikia maneno hayo, akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia+ mwilini mwake; naye akaanza kufunga, akaendelea kulala katika nguo za magunia, akatembea kwa huzuni.+ 2 Wafalme 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na ikawa kwamba mara tu Mfalme Hezekia+ aliposikia, mara moja akayararua mavazi yake,+ akavaa nguo za magunia,+ akaingia ndani ya nyumba ya Yehova.+
29 Baadaye Rubeni akarudi kwenye lile shimo la maji na tazama Yosefu hakuwemo. Basi akayararua mavazi yake.+
27 Na ikawa kwamba mara tu Ahabu alipoyasikia maneno hayo, akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia+ mwilini mwake; naye akaanza kufunga, akaendelea kulala katika nguo za magunia, akatembea kwa huzuni.+
19 Na ikawa kwamba mara tu Mfalme Hezekia+ aliposikia, mara moja akayararua mavazi yake,+ akavaa nguo za magunia,+ akaingia ndani ya nyumba ya Yehova.+